Al Hilal yaitoa mashindanoni KVZ

Al Hilal imepata ushindi mnono wa mabao 4-0 dhidi ya KVZ katika mchezo wa mzunguko wa pili wa kundi C la CECAFA Kagame cup 2026.

Ushindi huu unawafanya Al Hilal wapande kwenye kilele cha msimamo wa kundi C wakiwa na points zao 6.

Mchezo wa kundi C unaofuata hivi punde ni kati ya Rayon Sports dhidi ya Tusker FC.


Machapisho maarufu kutoka blogu hii

FIFA yatoa orodha ya vilabu bora duniani, Simba na Yanga zachuana vikali

Kocha Simba anataka wachezaji wapya watano

Beno Ngassa mdogo wa Mrisho Ngassa anayekipiga Tanzania Prisons