Taifa Stars walipovishwa medali zao FIFA Series

Timu ya taifa ya Tanzania , Taifa Stars jana wakivalishwa medali za mshindi wa tatu Kundi B FIFA Series 2026, Kigali, Rwanda.

Stars ilifanikiwa kushika nafasi ya tatu baada ya kuichabanga bila huruma timu ya taifa ya Macau mabao 6-0

Machapisho maarufu kutoka blogu hii

FIFA yatoa orodha ya vilabu bora duniani, Simba na Yanga zachuana vikali

HISTORIA YA TIMU YA MASHUJAA YA KIGOMA, KUMBE NI SHEA YA JESHI NA WANANCHI

Beno Ngassa mdogo wa Mrisho Ngassa anayekipiga Tanzania Prisons