Waziri wa Habari, Utamaduni, Sanaa na Michezo, Paul Makonda amesema Wizara hiyo ina mpango wa kuanzisha ligi ya wachezaji wa ndani ili kukuza uwezo wa wachezaji hao.
Waziri Makonda ameyasema hayo Mkoani Arusha wakati akifungua kikao kazi cha 16 cha Maafisa Utamaduni na Maafisa Maendeleo ya michezo kinachoendelea mkoani humo.
.
Mfano kwa sasa ikianzishwa Ligi ya wazawa,klabu ipi itachukua ubingwa asubuhi na mapema?
