Simba ikianza mazoezi na GYM

KIKOSI cha Simba leo kimerejea mazoezini wachezaji wakianza na mazoezi ya gym kujiandaa na michuano ya Kombe la Mapinduzi iliyoanza jana visiwani Zanzibar.

Machapisho maarufu kutoka blogu hii

FIFA yatoa orodha ya vilabu bora duniani, Simba na Yanga zachuana vikali

Beno Ngassa mdogo wa Mrisho Ngassa anayekipiga Tanzania Prisons

HISTORIA YA TIMU YA MASHUJAA YA KIGOMA, KUMBE NI SHEA YA JESHI NA WANANCHI