Kibabage abadilishana jezi na staa wa Tunisia
Beki wa Taifa Stars, Nickson Kibabage baada ya mchezo wa Taifa Stars dhidi ya Tunisia, alibadilishana jezi na staa wa Tunisia, Ali Maalouli.
.
Baada ya kubadilishana Kibabage alikiri kuwa Beki huyo amekuwa akimhusudu sana Maalouli na ni shabiki yake mkubwa.


