Yanga yakabidhiwa milioni 10 za mama Samia

Katibu wa Wizara ya Habari, Utamaduni, Sanaa na Michezo, Gerson Msigwa amekabidhi Sh. Milioni 10 kwa klabu Yanga, zawadi kutoka kwa Rais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania, Dk. Samia Suluhu Hassan baada ya ushindi wa 2-0 leo dhidi ya Wiliete SC ya Angola katika mchezo wa Ligi ya Mabingwa Afrika Uwanja wa Benjamin Mkapa, Dar es Salaam.

Machapisho maarufu kutoka blogu hii

FIFA yatoa orodha ya vilabu bora duniani, Simba na Yanga zachuana vikali

Beno Ngassa mdogo wa Mrisho Ngassa anayekipiga Tanzania Prisons

HISTORIA YA TIMU YA MASHUJAA YA KIGOMA, KUMBE NI SHEA YA JESHI NA WANANCHI