Tatu Malogo, Amina Kyando waula CAF
Waamuzi wa Tanzania Tatu Malogo, Zawadi Yusuph, Glory Tesha, na Amina Kyando wameteuliwa na CAF kuchezesha mchezo wa Kufuzu Kombe la Dunia Wanawake Namibia vs Zambia utakaochezwa Dobsonville, Johannesburg, Afrika Kusini Oktoba 22, 2025.