Jose Ribeiro kocha mkuu Simba


Aliyekuwa Kocha Mkuu wa Al Ahly ya Misri na Orlando Pirates ,ya Afrika Kusini José Ribeiro ndiye mgombea anayeongoza kuwa Kocha Mpya wa Simba SC 

Simu zinaita simba wanahitaji huduma yake mpka sasa mazungumzo yanaendelea na tajiri
Simba ni timu kubwa makocha wengi kutoka Nchi mbali mbali wanahitaji kufanya kazi na Simba.

Machapisho maarufu kutoka blogu hii

FIFA yatoa orodha ya vilabu bora duniani, Simba na Yanga zachuana vikali

Beno Ngassa mdogo wa Mrisho Ngassa anayekipiga Tanzania Prisons

HISTORIA YA TIMU YA MASHUJAA YA KIGOMA, KUMBE NI SHEA YA JESHI NA WANANCHI