Gamondi huyoo kuelekea Simba, kesho kuzungumza na Waandishi wa habari


Kocha Mkuu wa Singida Black Stars Miguel Gamondi atazungumza na Vyombo vya Habari kesho Jumatatu kuanzia saa 4:00 asubuhi, katika Makao Makuu ya NBC Bank – Posta, jijini Dar es Salaam.

Moja kati ya mazungumzo yake ni kuhusu mpango wake wa kutaka kujiunga na Simba kama imavyosemekana.

Waandishi wote wa Habari za Michezo mnakaribishwa.


Machapisho maarufu kutoka blogu hii

FIFA yatoa orodha ya vilabu bora duniani, Simba na Yanga zachuana vikali

Beno Ngassa mdogo wa Mrisho Ngassa anayekipiga Tanzania Prisons

HISTORIA YA TIMU YA MASHUJAA YA KIGOMA, KUMBE NI SHEA YA JESHI NA WANANCHI