Arajiga na wenzake kuchezesha kombe la Dunia
Waamuzi wa Tanzania Ahmed Arajiga, Mohamed Mkono, Said Hamdan na Nasir Salum wameteuliwa na FIFA kuchezesha mchezo wa kufuzu Kombe la Dunia Cape Verde vs Eswatini utakaochezwa katika uwanja wa Taifa, Praia Octoba 13, 2025.