Arajiga na wenzake kuchezesha kombe la Dunia

Waamuzi wa Tanzania Ahmed Arajiga, Mohamed Mkono, Said Hamdan na Nasir Salum wameteuliwa na FIFA kuchezesha mchezo wa kufuzu Kombe la Dunia Cape Verde vs Eswatini utakaochezwa katika uwanja wa Taifa, Praia Octoba 13, 2025.

Machapisho maarufu kutoka blogu hii

FIFA yatoa orodha ya vilabu bora duniani, Simba na Yanga zachuana vikali

Beno Ngassa mdogo wa Mrisho Ngassa anayekipiga Tanzania Prisons

HISTORIA YA TIMU YA MASHUJAA YA KIGOMA, KUMBE NI SHEA YA JESHI NA WANANCHI