Baba yake Manara kumng' oa Feitoto Yanga

Mzee Sunday Manara amesema, kuna watu kutoka Ulaya wamemtafuta kumtaka Feisal Salum 'Feitoto', na wapo tayari kutoka milioni 300, mshahara wa milioni 24 kwa mwezi na gharama za tiketi ya ndege ili kwenda kucheza soka Ulaya.



Machapisho maarufu kutoka blogu hii

FIFA yatoa orodha ya vilabu bora duniani, Simba na Yanga zachuana vikali

Kocha Simba anataka wachezaji wapya watano

Beno Ngassa mdogo wa Mrisho Ngassa anayekipiga Tanzania Prisons