HUU NDIO MKOKO ALIOZAWADIWA MAMA YAKE DIAMOND PLATINUMZ

Gari la kifahari linaloonekana pichani ndilo alilozawadiwa jana mama mzazi wa mwanamuziki nyota nchini Naseeb Abdul au Diamond Platinumz ambaye kwa sasa yuko nchini Marekani, gari hilo alipewa wakati akiadhimisha siku yake ya kuzaliwa.

Machapisho maarufu kutoka blogu hii

FIFA yatoa orodha ya vilabu bora duniani, Simba na Yanga zachuana vikali

Beno Ngassa mdogo wa Mrisho Ngassa anayekipiga Tanzania Prisons

HISTORIA YA TIMU YA MASHUJAA YA KIGOMA, KUMBE NI SHEA YA JESHI NA WANANCHI