Yanga yapita na dogo wa Fountain Gate

Juma Abushiri (18) to Yanga Ni almost a Deal Done

Yanga wame-hijack dili la kinda wa Fountan gate,Juma Abushiri (Chuga Boy) kwenda KAA Gent ya Belgium.

Abushiri tayari amesaini mkataba wa miaka mitatu na Yanga

Yanga wamempa kiungo huyo sign on fee tsh 90milion,kisha watalipa tsh 100 milion kwenda Fountain gate ili kuvunja mkataba wake wa miaka mitano.

Mkataba wa Abushiri na Yanga umesainiwa kwenye hotel ya Gran Melia Arusha

Kiungo huyo alikuwa na ofa ya kwenda Gent na alitakiwa kuondoka nchini tarehe 12/8/2026 ila Yanga wamepindua meza na kijana kasaini Jangwani.


Machapisho maarufu kutoka blogu hii

FIFA yatoa orodha ya vilabu bora duniani, Simba na Yanga zachuana vikali

Beno Ngassa mdogo wa Mrisho Ngassa anayekipiga Tanzania Prisons

HISTORIA YA TIMU YA MASHUJAA YA KIGOMA, KUMBE NI SHEA YA JESHI NA WANANCHI