Yanga yapanda dau kwa Girumugisha

Kama kuna mchezaji anawaumiza vichwa viongozi wa Yanga ni Jean Claude Girumugisha.

Chanzo changu kimeniambia Yanga wanajua ofa ya Pyramid imekataliwa,Yanga wanajua kuna klabu ya Ittihad kutoka Libya ila Yanga wamegoma kukata tamaa.

Yanga bado wanapambana kushinda vita ya Jean Claude Girumugisha.

Chanzo changu kimenisiaitiza nisiwatoe Yanga kwenye vita ya Jean Claude Girumugisha.


Machapisho maarufu kutoka blogu hii

FIFA yatoa orodha ya vilabu bora duniani, Simba na Yanga zachuana vikali

Beno Ngassa mdogo wa Mrisho Ngassa anayekipiga Tanzania Prisons

HISTORIA YA TIMU YA MASHUJAA YA KIGOMA, KUMBE NI SHEA YA JESHI NA WANANCHI