Yanga yakamilisha usajili wa straika wa Mashujaa

Jioni ya leo Yanga wamekamilisha usajili wa mshambuliaji wa Mashujaa,Raia wa Tanzania,Hussein Juma Mihambo (19).

Hussein Juma Mihambo amesinya mkataba wa miaka minne Yanga.

Yanga wametoa tsh 200m kumpata namba 9 huyo.

Hussein Juma Mihambo ni Balaa jipya Jangwani.


Machapisho maarufu kutoka blogu hii

FIFA yatoa orodha ya vilabu bora duniani, Simba na Yanga zachuana vikali

Beno Ngassa mdogo wa Mrisho Ngassa anayekipiga Tanzania Prisons

HISTORIA YA TIMU YA MASHUJAA YA KIGOMA, KUMBE NI SHEA YA JESHI NA WANANCHI