Slavia Prague yabisha hodi Msimbazi

Klabu ya Slavia Prague,Czechia imetuma ofa kwenda Simba ili kumpata Hussein Ally Mbegu (16).

Slavia wanataka kinda huyo akafanye majaribio kwa siku kadhaa ili wajiridhishe na baadhi ya vitu kabla ya kulipa pesa Simba na kukamilisha manunuzi hayo.

Barua ya ofa iko Simba ila bado hawajajibu chochote.



Machapisho maarufu kutoka blogu hii

FIFA yatoa orodha ya vilabu bora duniani, Simba na Yanga zachuana vikali

Beno Ngassa mdogo wa Mrisho Ngassa anayekipiga Tanzania Prisons

HISTORIA YA TIMU YA MASHUJAA YA KIGOMA, KUMBE NI SHEA YA JESHI NA WANANCHI