Simba yamnasa Kouasi


Simba SC inaendelea na harakati za kuimarisha kikosi chake huku beki wa kulia Blè Kouasi akitajwa kuwa kwenye rada za Wekundu wa Msimbazi.

Nyota huyo anasifiwa kwa uwezo wake wa kupanda na kushuka kwa kasi, pamoja na kupiga krosi zenye ubora mkubwa.

Endapo usajili huu utakamilika, ushindani katika nafasi ya beki wa kulia utaongezeka, huku Shomari Kapombe na David Kameta "Duchu" wakilazimika kupambana zaidi kuwania nafasi ya kuanza kikosini msimu wa 2026/27.


Machapisho maarufu kutoka blogu hii

FIFA yatoa orodha ya vilabu bora duniani, Simba na Yanga zachuana vikali

Beno Ngassa mdogo wa Mrisho Ngassa anayekipiga Tanzania Prisons

HISTORIA YA TIMU YA MASHUJAA YA KIGOMA, KUMBE NI SHEA YA JESHI NA WANANCHI