Simba yaiomba Bodi ya Ligi ilete waamuzi wa nje ya nchi


Uongozi wa klabu ya Simba SC umeandika barua kwenda Bodi ya Ligi Kuu (TPLB) na TFF kuwataka wachague Waamuzi ambao hawana maamuzi mabaya ya kujirudia.

Simba SC ipo tayari kughalimikia Bodi ya Ligi na TFF kuleta Marefa kutoka nje ya nchi ikiwa humu ndani itashindikana


Machapisho maarufu kutoka blogu hii

FIFA yatoa orodha ya vilabu bora duniani, Simba na Yanga zachuana vikali

Beno Ngassa mdogo wa Mrisho Ngassa anayekipiga Tanzania Prisons

HISTORIA YA TIMU YA MASHUJAA YA KIGOMA, KUMBE NI SHEA YA JESHI NA WANANCHI