Mrithi wa Pedro Yanga huyu hapa

KLABU ya Yanga imemtambulisha Manqoba Brilliant Ferrimant Mngqithi (55) kutoka Golden Arrows ya kwao, Afrika Kusini kuwa kocha wake mpya Mkuu akichukua nafas ya Mreno, Pedro Valdemar Soares Gonçalves aliyeondolewa Mei mwaka huu


Machapisho maarufu kutoka blogu hii

FIFA yatoa orodha ya vilabu bora duniani, Simba na Yanga zachuana vikali

Beno Ngassa mdogo wa Mrisho Ngassa anayekipiga Tanzania Prisons

HISTORIA YA TIMU YA MASHUJAA YA KIGOMA, KUMBE NI SHEA YA JESHI NA WANANCHI