MC Alger yavutiwa na Nduwumwe

MC Alger inavutiwa na kiwango cha mshambuliaji Mossi Nduwumwe (22) kutoka Singida Black Stars FC na tayari wameanza mazungumzo na Singida Black Stars FC ili kupata huduma yake!

Ofa nono ilishawekwa mezani kwa Singida Black Stars kilichobaki ni makubaliano baina ya pande zote mbili na hakuna ofa yoyote kutoka Young Africans SC iliyofika mezani kwa Singida Black Stars FC.


Machapisho maarufu kutoka blogu hii

FIFA yatoa orodha ya vilabu bora duniani, Simba na Yanga zachuana vikali

Beno Ngassa mdogo wa Mrisho Ngassa anayekipiga Tanzania Prisons

HISTORIA YA TIMU YA MASHUJAA YA KIGOMA, KUMBE NI SHEA YA JESHI NA WANANCHI