Ligi Kuu bara kutimua vumbi Agosti 16
Ligi Kuu ya msimu ujao wa 2026/2027 inatarajiwa kuanza kutimua vumbi kuanzia Agost 16 2026 na kumalizika kabla ya June 1 2027!
Mojawapo ya sababu kubwa ya Ligi kurejea mapema ni uwepo wa AFCON 2027 ambayo itafanyika Tanzania, Kenya na Uganda kuanzia June 19 2027 mpaka July 18 2027!
Ratiba ya Ngao ya Jamii itatoka mapema ikifuatiwa na ratiba ya ligi kuu 2026/2027!
