Kigogo Yanga amfagilia Karia

Mjumbe wa kamati ya utendaji kwenye klabu ya Yanga,Alex Ngai anasema kuwa amefurahishwa na maamuzi ya Rais wa TFF, Wallace Karia ya kufuta kanuni ya timu ya ugenini kufanya mazoezi siku moja kabla ya mchezo husika (dhidi ya timu mwenyeji)

"Kwani hii kanuni si kuna timu moja tu ndiyo imeharibu?,ila nimefurahi kufutwa kwa hii kanuni"- Alex Ngai


Machapisho maarufu kutoka blogu hii

FIFA yatoa orodha ya vilabu bora duniani, Simba na Yanga zachuana vikali

Beno Ngassa mdogo wa Mrisho Ngassa anayekipiga Tanzania Prisons

HISTORIA YA TIMU YA MASHUJAA YA KIGOMA, KUMBE NI SHEA YA JESHI NA WANANCHI