Henoc Molia straika mpya Azam FC

Azam FC imefikia makubaliano na St Eloi Lupopo ya kumsajili mshambuliaji Henoc Molia (22) kwaajili ya kuitumikia klabu hiyo kwa msimu ujao wa 2026-27.

Henoc Molia amesajiliwa kwa kuchukua nafasi ya Bola Kitambala aliyeondoka klabuni hapo na Henoc Molia ni pendekezo la kocha wao Florent Ibenge.


Machapisho maarufu kutoka blogu hii

FIFA yatoa orodha ya vilabu bora duniani, Simba na Yanga zachuana vikali

Beno Ngassa mdogo wa Mrisho Ngassa anayekipiga Tanzania Prisons

HISTORIA YA TIMU YA MASHUJAA YA KIGOMA, KUMBE NI SHEA YA JESHI NA WANANCHI