Chris Mugalu huyoo Caps United

Mshambuliaji Chris Mugalu (35) amejiunga na klabu ya CAPS United kwaajili ya msimu ujao wa 2026-27 kutoka Forest Rangers

Chris Mugalu aliwahi kucheza Simba SC kabla ya kujiunga na CAPS United ambayo mkataba wake na klabu hiyo kumalizika.


Machapisho maarufu kutoka blogu hii

FIFA yatoa orodha ya vilabu bora duniani, Simba na Yanga zachuana vikali

Beno Ngassa mdogo wa Mrisho Ngassa anayekipiga Tanzania Prisons

HISTORIA YA TIMU YA MASHUJAA YA KIGOMA, KUMBE NI SHEA YA JESHI NA WANANCHI