Camara atimkia FC Annecy
Mlinda mlango wa zamani wa Simba Sports, Mousa PinPin Camara anajiunga na FC Annecy inayoshiriki Ligi daraja la pili Ufaransa akiwa mchezaji huru baada ya kumaliua kandarasi unyamani.
Camara atacheza French Ligue 2 msimu ujao.
FC Annecy walihusika pia na rehab yake kupona majeraha kipindi hiki alichokuwa nje na kusafiri mara kdhaa kuelekea Ufaransa kwa Matibab
