Azam FC yapigwa faini

KLABU ya Azam imetozwa Faini ya Sh. Milioni 50, huku viongozi na wachezaji wake nao wakichukuliwa hatua mbalimbali za kinidhamu kwa makosa tofauti kwenye mchezo wa Fainali ya Kombe la Shirikisho la Soka Tanzania (TFF), michuano inayodhaminiwa na Benki ya CRDB.

Azam Football Club
Tanzania Football Federation
CRDB Bank Plc
Azam Sports
TBC Taifa
Precision Air

Machapisho maarufu kutoka blogu hii

FIFA yatoa orodha ya vilabu bora duniani, Simba na Yanga zachuana vikali

Beno Ngassa mdogo wa Mrisho Ngassa anayekipiga Tanzania Prisons

HISTORIA YA TIMU YA MASHUJAA YA KIGOMA, KUMBE NI SHEA YA JESHI NA WANANCHI