Azam FC inasajili kibingwa
Azam FC imekamilisha usajili wa beki wa kati Lupini Dieumerci (20) kutoka AS Maniema Union kwaajili ya msimu ujao!
Kila kitu kimekamilika na atatambulisha hivi karibuni na Matajiri wa Chamazi na atachukua nafasi ya Yoro Diaby waliyeachana nae.
