Akaminko ruksa kwenda Yanga

Klabu ya Azam FC imeachana na Kiungo wake James Akaminko Raia wa Ghana Baada ya Mkataba wake kumalizika.

Kocha Mkuu wa Klabu ya Azam FC Florent Ibenge Raia wa Congo Anasema James Akaminko hayuko kwenye Mipango Yake Msimu Ujao.

Lakini inaelezwa kwamba huo ni mpango wa Yanga ambayo ilionesha nia ya kumuhitahi sasa kitendo Cha kumuacha ni kuiruhusu Yanga iweze kumsajili kirahisi




Machapisho maarufu kutoka blogu hii

FIFA yatoa orodha ya vilabu bora duniani, Simba na Yanga zachuana vikali

Beno Ngassa mdogo wa Mrisho Ngassa anayekipiga Tanzania Prisons

HISTORIA YA TIMU YA MASHUJAA YA KIGOMA, KUMBE NI SHEA YA JESHI NA WANANCHI