Mangungu afunguka baada ya kukosa ubingwa

Niwaambie tu kuwa Bingwa wa Ligi Kuu msimu huu amepatikana kwa kupendelewa na kila mtu anajua na Waandishi mnaelewa.. hakuna fair competition na makosa ya kibinadamu yalikuwa ya kutosha kwa marefa waliochezesha mechi za Bingwa (Yanga) ".

- Mwenyekiti wa Simba akiongea baada ya mchezo wa Simba SC dhidi ya KMC kumalizika.. akizungumza na Waandishi wa Habari kuhusu Young Africans SC kuwa Bingwa wa Ligi kuu msimu huu.


Machapisho maarufu kutoka blogu hii

FIFA yatoa orodha ya vilabu bora duniani, Simba na Yanga zachuana vikali

Beno Ngassa mdogo wa Mrisho Ngassa anayekipiga Tanzania Prisons

HISTORIA YA TIMU YA MASHUJAA YA KIGOMA, KUMBE NI SHEA YA JESHI NA WANANCHI