Silver Strickers yawasili Dar es Salaam kuikanda Yanga

Kikosi cha Wachezaji wa Silver Strikers wamewasili nchini kujiandaa na mchezo wa marudiano ya mchezo wa awali wa kufuzu hatua ya makundi dhidi ya Yanga SC.
.
Silver Strikers wametanguliza mguu mmoja mbele baada ya kushinda mchezo qa kwanza kwa bao 1-0 huko nchini Malawi 

Machapisho maarufu kutoka blogu hii

FIFA yatoa orodha ya vilabu bora duniani, Simba na Yanga zachuana vikali

Beno Ngassa mdogo wa Mrisho Ngassa anayekipiga Tanzania Prisons

HISTORIA YA TIMU YA MASHUJAA YA KIGOMA, KUMBE NI SHEA YA JESHI NA WANANCHI