Shujaa wa Eloi Lupopo dhidi ya Orlando Pirates
Ushujaa wa Simon Omossola ulivyoipeleka Saint Eloi Lupopo katika hatua ya Makundi ya ligi ya mabingwa ya CAF.
Kipa huyo wa Cameroon aliye imara katika goli, aliokoa penalti mbili baada ya sare ya 3-3 na Orlando Pirates mwishoni mwa mchezo wa kawaida. Timu ya DR Congo ilishinda 5-4...
