Rasmi Yanga yamtambulisha kocha mpya, ni Mreno Pedro Goncalves

Klabu ya Yanga Sc imetangaza kumteua aliyekuwa kocha wa Timu ya Taifa ya Angola, Pedro Gonçalves kuwa kocha mkuu mpya klabuni hapo akichukua mikoba ya Roman Folz aliyetupiwa virago.

Gonçalves (49) raia wa Ureno amewahi pia kufanya kazi kama kocha wa kikosi cha vijana wa klabu ya Sporting Lisbon ya Ureno.

Machapisho maarufu kutoka blogu hii

FIFA yatoa orodha ya vilabu bora duniani, Simba na Yanga zachuana vikali

Beno Ngassa mdogo wa Mrisho Ngassa anayekipiga Tanzania Prisons

HISTORIA YA TIMU YA MASHUJAA YA KIGOMA, KUMBE NI SHEA YA JESHI NA WANANCHI