Raja Casablanca kumng' oa Maema Msimbazi
Kocha mkuu wa klabu ya Raja CA, ambaye amewahi kuinoa Simba SC ya Tanzania , Fadlu Davids anaripotiwa kuihitaji saini ya kiungo wa klabu yake hiyo ya zamani Neo Maema.
Ikumbukwe Fadlu ndiye aliyependekeza usajili wa mchezaji huyo ndani ya Simba SC.
