Naina D anamtaka mpenzi aliye- serious

Na Mwandishi Wetu

MSANII wa kike wa muziki wa kizaxi kipya anayejulikana kwa jina la Naina D, ambaye pia anatamba na wimbo wake uitwao "Nipe tamu", ametambulisha wimbo wake mpya uitwao Serious.

Akizungumza na Mambo Uwanjani Blog, Naina D amedai kwamba wimbo wake mpya aliourekodi kwa njia ya audio, unaelimisha jamii na kuburudisha.

"Wimbo ni wa mapenzi na unalenga kumpata mtu aliye- serious na si wa kupotezeana muda", alisema na kuongeza.

Wimbo huo ameutambulisha kwenye mitandao ya kijamii, ikiwemo youtube, facebook, TikTok, pia atautambulisha kwenye stesheni za redio.
Naina D

Machapisho maarufu kutoka blogu hii

FIFA yatoa orodha ya vilabu bora duniani, Simba na Yanga zachuana vikali

Beno Ngassa mdogo wa Mrisho Ngassa anayekipiga Tanzania Prisons

HISTORIA YA TIMU YA MASHUJAA YA KIGOMA, KUMBE NI SHEA YA JESHI NA WANANCHI