Minziro hatihati BigMan


Fred Minziro amekuwa na mwanzo mbaya akiwa na kikosi cha BigMan ambapo mpaka sasa amepoteza michezo 3 mfululizo ambayo ameiongoza timu hiyo huku timu wakiwa hawajafunga goli lolote.

Timu hiyo ya Minziro imepoteza dhidi ya TMA 1-0, Mbuni 2-0 na Kagera Sugar 1-0, michezo ya BigMan inayofuata ni dhidi ya Barberian, 
Polisi Tanzania, Songea United 
na Kengold

Machapisho maarufu kutoka blogu hii

FIFA yatoa orodha ya vilabu bora duniani, Simba na Yanga zachuana vikali

Beno Ngassa mdogo wa Mrisho Ngassa anayekipiga Tanzania Prisons

HISTORIA YA TIMU YA MASHUJAA YA KIGOMA, KUMBE NI SHEA YA JESHI NA WANANCHI