Mecky Mexime kumrithi Mayanga, Mashujaa FC. soma zaidi


Mecky Mexime ndiye anatajwa kurithi mikoba ya Salum Mayanga ndani ya kikosi cha Mashujaa FC ,Ikumbukwe kuwa Kwa sasa Mexime hana timu anayofundisha baada ya kuachana na Kagera Sugar msimu uliopita.

Mecky ni kocha mwenye uzoefu mkubwa na soka la Tanzania akiwa amewahi kufundisha kwenye Vilabu vya Mtibwa Sugar ,Kagera Sugar,Ihefu pamoja na Dodoma Jiji.

Machapisho maarufu kutoka blogu hii

FIFA yatoa orodha ya vilabu bora duniani, Simba na Yanga zachuana vikali

Beno Ngassa mdogo wa Mrisho Ngassa anayekipiga Tanzania Prisons

HISTORIA YA TIMU YA MASHUJAA YA KIGOMA, KUMBE NI SHEA YA JESHI NA WANANCHI