Makocha wa Simba na Yanga matawi ya juu Algeria

Klabu 4 za Algeria zimefanikiwa kuingia hatua ya Makundi ya mashindano ya CAF

CAF Champions League zilizoingi
ni MC Alger inayonolewa na Rulani Mokwena, JS Kabylie inayonolewa na Josef Zinnbauer.

CAF Confederation Cup zilizofuzu ni CR Belouizdad inayonolewa na
Sead Ramović aliyewahi kuinoa Yanga na timu ya USM Alger inayonolewa na Abdelhak Benchikha ambaye aliwahi kuinoa Simba SC.


Machapisho maarufu kutoka blogu hii

FIFA yatoa orodha ya vilabu bora duniani, Simba na Yanga zachuana vikali

Beno Ngassa mdogo wa Mrisho Ngassa anayekipiga Tanzania Prisons

HISTORIA YA TIMU YA MASHUJAA YA KIGOMA, KUMBE NI SHEA YA JESHI NA WANANCHI