Kocha KMKM awaonya Azam FC

Kocha mkuu wa KMKM ya Zanzibar Hababuu Omar ameoneshwa kuhuzunishwa na tabia za mashabiki wa Tanzania hususani upande wa Zanzibar kua hawapendi timu zao za Zanzibar hali inayopelekea wachezaji kucheza bila support ya mashabiki 

Pia amesema amezungumza na makocha zaidi ya wanne kutokea Zanzibar ambao nao wamekili kua hua wanafurahia zaidi kucheza nje ya Zanzibar kuliko ndani ya Zanzibar

Katika hatua nyingine kocha huyo amesema wanajiona kama wapo nyumbani na watatoa ushindani mkubwa kwa Azam FC baadaye leo.

Machapisho maarufu kutoka blogu hii

FIFA yatoa orodha ya vilabu bora duniani, Simba na Yanga zachuana vikali

Beno Ngassa mdogo wa Mrisho Ngassa anayekipiga Tanzania Prisons

HISTORIA YA TIMU YA MASHUJAA YA KIGOMA, KUMBE NI SHEA YA JESHI NA WANANCHI