Simba yaibomoa Stellenbosch
Klabu ya Simba SC wapo kwenye mazungumzo ya kumchukua Ibraheem Jabaar Na Tayari wameweka Ofa Nono Mezani kwa ajili ya Midfielder hii hatari kutoka Stellenbosch FC Ya Afrika Kusini
Ibraheem anaweza kucheza maeneo matatu ya mbele, number 8, number 10 na winga zote mbili kushoto au kulia.
Kwa taarifa nilizonazo ni kwamba Ibraheem Jabaar ni pendekezo la kocha Steve Baker ambae Alimsajili akiwa kama kocha wa Stellenbosch FC...
