Rasmi, Yanga wanamleta Fadlu
Inaripotiwa nchini Afrika Kusini mchana huu kwamba, Yanga Afrika wameweka ofa mezani na wako kwenye mazungumzo kumsaini Kocha Fadlu Davids kama kocha wake mpya mkuu kuelekea msimu ujao.
Fadlu Davids aliitumikia Simba Sports msimu huu, hapa Tanzania kabla ya kutimkia Raja Club huko Morocco ambako baada ya matokeo mabovu dhdi ya vilabu vikubwa na kuukosa Ubingwa wa Botola Pro alifutwa kazi jijjni Casablanca wiki chache zilizopita.
