Nasri Kombo mali ya Yanga msimu ujao


Yanga SC wapo hatua za mwisho kukamilisha dili hili beki wa kati bwana mdogo Nasri Kombo ambaye amekuwa na kiwango bora msimu huu ndani ya TRA United.

Yanga SC inataka beki mzawa wa kwenda kuongeza nguvu kwenye ukuta wao pamoja na kutoa Challange kwa Job,Bacca na Mwamnyeto.


Machapisho maarufu kutoka blogu hii

FIFA yatoa orodha ya vilabu bora duniani, Simba na Yanga zachuana vikali

Beno Ngassa mdogo wa Mrisho Ngassa anayekipiga Tanzania Prisons

HISTORIA YA TIMU YA MASHUJAA YA KIGOMA, KUMBE NI SHEA YA JESHI NA WANANCHI