Kitambala awaniwa na Singida Black Stars

Singida Black Stars,wako kwenye mazungumzo ya kina na mshambuliaji wa Azam FC,Jephte Kitambala (27).

Mazungumzo yako kwenye hatua nzuri na Kitambala ameonyesha nia ya kujiunga na Singida mwishoni mwa msimu huu.


Machapisho maarufu kutoka blogu hii

FIFA yatoa orodha ya vilabu bora duniani, Simba na Yanga zachuana vikali

Beno Ngassa mdogo wa Mrisho Ngassa anayekipiga Tanzania Prisons

HISTORIA YA TIMU YA MASHUJAA YA KIGOMA, KUMBE NI SHEA YA JESHI NA WANANCHI