Kiboko ya Yanga, atua Caps United Zimbabwe
Uchizi Vunga amejiunga na klabu ya CAPS United inayoshiriki Ligi Kuu ya Zimbabwe akitokea Silver Strikers FC.
-
Vunga anakuwa mchezaji wa pili kuondoka katika wiki za hivi karibuni, kufuatia kuondoka kwa beki wa kulia McDonald Lameck ambaye amejiunga na Hard Rock FC.
-
Vunga alijiunga na Silver Strikers mwaka 2021 akitokea Mzuzu City Hammers, iliyokuwa ikijulikana awali kama Ekwendeni Hammers
