Aucho akaribia kutua Gor Mahia
Nahodha wa Uganda Cranes, Khalid Aucho, anatajwa kuwaniwa na klabu za Gor Mahia na Tusker FC kwa ajili ya usajili wake, kwa mujibu wa taarifa zinazoripotiwa nchini Uganda.
Kiungo huyo mwenye uzoefu mkubwa kwa sasa anakipiga katika kikosi cha Singida Black Stars, huku klabu hizo mbili za Kenya zikifuatilia kwa karibu uwezekano wa kumpata katika dirisha hili la usajili
