Kipa wa Simba awa kipa bora Ethiopia

Mlinda wa mlango wa zamani wa mabingwa wa soka nchini, Simba SC, Daniel Agyei amechaguliwa kuwa kipa bora katika Ligi Kuu nchini Ethiopia akiwa anaichezea timu ya Jimma Ketema FC.

Agyei alisajiliwa na Simba sambamba na mwenzake James Kotei lakini akaachwa kwa mizengwe na kusajiliwa makipa wengine watatu ambao ni Aishi Manula, Said Mohamed na Emmanuel Mseja huku yeye akitimkia nchini Ethiopia ambapo msimu huu ameonekana bora na kutunukiwa tuzo

Daniel Agyei amekuwa kipa bora Ethiopia

Machapisho maarufu kutoka blogu hii

FIFA yatoa orodha ya vilabu bora duniani, Simba na Yanga zachuana vikali

Beno Ngassa mdogo wa Mrisho Ngassa anayekipiga Tanzania Prisons

HISTORIA YA TIMU YA MASHUJAA YA KIGOMA, KUMBE NI SHEA YA JESHI NA WANANCHI