Ronaldo siyo kwenye soka peke yake, apiga hat trik ya watoto

Mshambuliaji wa kutumainiwa wa Real Madrid na timu ya taifa ya Ureno, Cristiano Ronaldo amebahatika kupata watoto wawili kwa mpigo baada ya mkewe kujifungua kwa mpigo.

Sasa Ronaldo anakuwa baba wa watoto watatu na kumfanya adhihirishe makali yake kuwa yeye siyo kwenye mchezo wa soka pekee hata kunako familia anatisha.

Ronaldo ametoka kushiriki kombe la mabara ambapo timu yake ya Ureno imeondoshwa kwa mikwaju ya penalti na Chile, mwanasoka huyo bora wa dunia ametishia kuihama Real Madrid ili kukwepa kodi Hispania

Machapisho maarufu kutoka blogu hii

FIFA yatoa orodha ya vilabu bora duniani, Simba na Yanga zachuana vikali

Beno Ngassa mdogo wa Mrisho Ngassa anayekipiga Tanzania Prisons

HISTORIA YA TIMU YA MASHUJAA YA KIGOMA, KUMBE NI SHEA YA JESHI NA WANANCHI