Klabu ya Simba SC inadaiwa kuingia kwenye mazungumzo ya awali na Kocha wa Singida Black Stars, Miguel Ángel Gamondi, kwa uwezekano wa kujiunga na klabu hiyo kama Kocha Mkuu baada ya kukamilika kwa majukumu ya AFCON. Kwa sasa, hakuna uthibitisho rasmi kutoka pande husika, huku maamuzi yakisubiri mchakato wa majadiliano na ratiba za majukumu ya kitaifa.
MAMBO UWANJANI
Kwa habari na matangazo tunapatikana Kariakoo jijini Dar es Salaam au piga +255 652 626627 au +255 755 522 216 barua pepe princehoza@gmail.com