Singida Black Stars nao kama Simba
Tayari Meneja Mkuu wa Singida Black Stars, Papy Kimoto na Msaidizi wake Kapiten Ngoyi wameanza majukumu yao baada ya kuwasili salama .
Singida Black Stars kama Simba SC ambao nao waliwahi kuajiri kocha mkuu lakini wakamuita Meneja Mkuu.







