Minziro atambulishwa Fountain Gate
KLABU ya Fountain Gate imemtambulisha Fredy Felix Minziro kuwa kocha wake mpya Mkuu.
Minziro alikuwa akiinoa timu ya Bigman inayoshiriki Championship na anasifika kwa kuzipandisha timu Ligi Kuu bara na pia kuzibakisha kwenye ligi hiyo.


