Makonda amteua Leodgal Tenga kamati ya AFCON

WAZIRI wa Habari, Utamaduni, Sanaa na Michezo, Paul Christian Makonda amemteua Nahodha wa zamani wa timu ya soka ya taifa ya Tanzania, Leodegar Chilla Tenga kuwa Mwenyekiti wa Kamati ya Ndani ya Maandalizi ya Fainali za Kombe la Mataifa ya Afrika (AFCON) 2027 ambazo Tanzania inaandaa kwa ushirikianona majirani, Kenya na Uganda.


Machapisho maarufu kutoka blogu hii

FIFA yatoa orodha ya vilabu bora duniani, Simba na Yanga zachuana vikali

HISTORIA YA TIMU YA MASHUJAA YA KIGOMA, KUMBE NI SHEA YA JESHI NA WANANCHI

Beno Ngassa mdogo wa Mrisho Ngassa anayekipiga Tanzania Prisons